Ni moja kati ya wasanii wakongwe kwenye gemu ya muziki wa Bongo Fleva
ambaye tangu alipoanza muziki miaka ya 90 na kuwa kwenye kiwango cha juu
kilichomfanya kujenga heshima kwa mashabiki wa muziki huo bado
ameendelea kulinda heshima yake hiyo na kwa kuthibitish ahilo huu ndiyo
ujo wake mpya Enajoy
No comments:
Post a Comment