Feb 18, 2013

THAT'S WHY THEY CALL ME CRDB BANK



Mwenye nguo ya pink ni mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akielekea kwenda kukabidhi zawadi kwa watoto yatima, zawadi zilizotolewa na CRDB BANK.
Nimejaribu kufikiria ni kitu gani kiliwafanya CRDB BANK iwaze kufanya hiki ilichofanya lakini ukweli ni kwamba wameamua hivyo sababu wao ni bank ya kila Mtanzania, nawapa salute kwa hii event waliyoifanya ya kuwashukuru wakazi wa Njombe kwa kuliwezesha tawi la Benki ya CRDB Njombe kupata mafanikio makubwa kibiashara katika mwaka 2012.
Hili tawi liliandaa zawadi kwa watoto yatima wa kituo cha Tumaini Ilunda Njombe, pia likaandaa tafrija fupi iliyohusisha wateja wa benki na wadau wengine wa Benki wa mkoani Njombe.


.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

No comments: