Feb 18, 2013
THAT'S WHY THEY CALL ME CRDB BANK
Nimejaribu kufikiria ni kitu gani kiliwafanya CRDB BANK iwaze kufanya hiki ilichofanya lakini ukweli ni kwamba wameamua hivyo sababu wao ni bank ya kila Mtanzania, nawapa salute kwa hii event waliyoifanya ya kuwashukuru wakazi wa Njombe kwa kuliwezesha tawi la Benki ya CRDB Njombe kupata mafanikio makubwa kibiashara katika mwaka 2012.
Hili tawi liliandaa zawadi kwa watoto yatima wa kituo cha Tumaini Ilunda Njombe, pia likaandaa tafrija fupi iliyohusisha wateja wa benki na wadau wengine wa Benki wa mkoani Njombe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment