Feb 22, 2013

Wajumbe wa baraza la katiba wanusurika kufa baada ya gari waliokuwa wamepanda kugongana na gari nyengine wakiwa njiani kuelekea Bwejuu.

Wajumbe wa baraza la katiba wanusurika kufa baada ya gari waliokuwa wamepanda kugongana na gari nyengine wakiwa njiani kuelekea Bwejuu. waliokuwemo katika gari hiyo ni Salim Towfiq, Saleh Mohammed, Said Salim Said, Dadi Kombo, Jokha Ali, Almas na mie mwenyewe Salma Said wengine dereva na mchukuaji video tulikuwa njiani ndio tukakutwa na mtihani huo ambapo mara ya kwanza katika ku over take tumekosewa chupuchupu tukasalimika tukasonga mbele kufika mbele tena kosa jengine hilo hilo la ku over take lakini mara ya pili gari iliyokuwa ikiwa kwa mwendo wa wastani ikagonga gari yetu na kuvunja vioo ambavyo vikaingia ndani ya gari, Alhamdulillah watu waliokuwemo ndani ya gari yetu hakuna aliyeumia lakini wengine walipata mshituko wa moyo, ila dereva wa gari ya pili ndio ameumia sehemu ya uso na amepata majeraha. Alhamdulillah Mwenyeenzi Mungu ametunusuru kwa hili atunusuru na kwa jengine inshaallah 
waliokuwemo katika gari hiyo ni Salim Towfiq, Saleh Mohammed, Said Salim Said, Dadi Kombo, Jokha Ali, Almas na mie mwenyewe Salma Said wengine dereva na mchukuaji video tulikuwa njiani ndio tukakutwa na mtihani huo ambapo mara ya kwanza katika ku over take tumekosewa chupuchupu tukasalimika tukasonga mbele kufika mbele tena kosa jengine hilo hilo la ku over take lakini mara ya pili gari iliyokuwa ikiwa kwa mwendo wa wastani ikagonga gari yetu na kuvunja vioo ambavyo vikaingia ndani ya gari, Alhamdulillah watu waliokuwemo ndani ya gari yetu hakuna aliyeumia lakini wengine walipata mshituko wa moyo, ila dereva wa gari ya pili ndio ameumia sehemu ya uso na amepata majeraha. Alhamdulillah Mwenyeenzi Mungu ametunusuru kwa hili atunusuru na kwa jengine inshaallah..

Source: SALMA SAID

No comments: