RAIS KIKWETE : "VITAMBULISHO VYA TAIFA HAVITAUZWA"
(Pichani ni mfano wa muonekano wa Kitambulisho cha Taifa)
Rais Jakaya Kikwete amesema serikali itagharamia gharama zote za mamlaka
ya vitambulisho vya taifa nchini NIDA ili kuondokana na changamoto
zilizojitokeza awali huku akiwataka watendaji wakuu na watumishi wa NIDA
wawe wazalendo na waaminifu kwa kuepuka kutoa vitambulisho kwa watu
wasiostahili.
No comments:
Post a Comment