May 6, 2011

KWENYE SHOW JAMAA ANAFUNIKA KINOMAAAA


 

'NGOSHA ZE DON'balozi wa malaria akitoa burudani ya nguvu kwa wakazi wa kisesa jijini mwanza ilikuwa bonge la show mzazi wasanii kibao wa hip-hop wa mwanza walichana mbaya!harakati kama kawa mwana,,,,,,,,,,,,,,,1lov

No comments: