May 5, 2011

Kumbe Avril ni msagaji


Imebainika kua Msanii mrembo kutoka Ogopa DJ stable ya kenya anaejulikana kama Avril ambae jina lake la ukweli ni Judith Nyambura Mwangi ni msagaji baada ya picha zake kutoka kwenye mitandao ambazo zinamuonesha mwanadada huyo akiwa anafanya mambo flani na mwanamke mwenzake...Avril ni msanii ambae ameshawahi kushirikishwa na mtu mzima A.Y Kwenye RMX ya track yake inayojitwa "LEO" Pia juzi juzi tu alishinda tunzo ya Teenies Choice huko kenya........






No comments: