Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2012, Rose Lucas akiwa ni mwenye furaha baada ya kutajwa kuwa mshindi na kujinyakulia taji hilo baada ya kuwashinda warembo wengine 11 katika kinyanganyiro hicho cha aina yake
Washiriki wa Shindano la Urembo la Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2012 waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutajwa kufanikiwa kupita katikia hatua hiyo. Kutoka kushoto ni 6. Zuhura Gora,7. Irene Veda, 4. Salvina Kibona, 9. Rose Lucas na 5. Joyce Baluhi.
Warembo wa Redds Miss Kanda ya Mashariki wakicheza show kali ya ufunguzi wa shindano lao lililofanyika Hotel ya Nashera Mjini Morogoro usiku wa kuamkia leo.Wandaaji wa mashindano ya Mikoa iliyoleta washiriki wa Miss Kanda ya Mashariki wakitambiana huku Mwandaaji wa Mkoa wa Lindi, Ramadhan Shaha (katikati) akionesha ishara ya ushindi aitumiayo mkiambiaji wa Kimataifa wa Jamaika Bolt. Shaha alifanikiwa kutoa mshindi wa pili wa mashindano hayo. Wengine kushoto ni Mwandaaji wa Mtwara, Rajab Mchata, Mwandaaji wa Morogoro, Frank Ezekiel na kulia kabisa ni Mama Mchata.
No comments:
Post a Comment