
Mbunge Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe (CHADEMA) ambaye leo amesoma bajeti mbadala ya upinzani Bungeni, amekuwa Mbunge wa kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia teknolojia ya kisasa kufanya presentation kwenye Bunge kwa kutumia kifaa cha iPad kusoma hotuba yake.
Hongera Zitto,ni wakati wa kuweka makaratasi pembeni sasa haha
Nukuu
Mmoja wa watu waliokuwa wakishuhudia Zitto akitumia kifaa hicho kupitia luninga alisikika akisema.......
.........SPIKA atauliza Zitto hivi hako kakidude ni ka nini kako kama ka kompyuta?? hehehe
.........SPIKA atauliza Zitto hivi hako kakidude ni ka nini kako kama ka kompyuta?? hehehe
Mwingine nae akasema.....Hiyo itatoa usikivu wa wabunge wengine maana watakuwa wanashangaa ipad
Na mwingine.........Hivi kanuni za bunge zinahurusu kweli hichi kifaa? au spika hana muongozo! au anaogopa ataumbuka?
....hahaaaaa yaani spika anaweza kumfuta ubunge Zitto kwa kutumia chombo cha kiintelijensia bungeni...hahahaaaa hivi hii hawajaitolea muongozo kweli
........Kwa miaka ijayo matumizi ya kompyuta yawe ni sifa mojawapo ya mgombea ubunge. Sio ufundi wa kudai posho na siasa ya majukwaani.
...............I can imagine, wasira with all those makaratasi yesterday sijui atakuwa ana feel vipi?
No comments:
Post a Comment