lost-9 fm -a place to pick a story

Pages

▼

Jul 21, 2012

I DON'T WANT FRIENDS BY FID Q.

 
Mkali wa lost-9fm Ngosha the Don ameelezea utata wa ngoma yake inayosumbua vituo mbalmbali vya radio nchini SITAKI MARAFIKI kuwa alikuwa anamanisha kwamba ni wakati sasa wa kuchagua marafiki ambao watakuwa na wewe kwenye zote nyakati. ametoa  mfano unapigana rafiki yako akija utashangaa anauliza tatizo kwanza kabla ya kukusaidi wakati rafiki wa kweli anafika na kukusaidia kwanza halafu chanzo baadae
dj lazzer5ive at 8:35 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
dj lazzer5ive
Am a simple guy!
View my complete profile
Powered by Blogger.