Dondoka pande za Teentz.com ujione mwenyewe jinsi ishu nzima ilivyokuwa na Dibanj, Don Jazzy na Kanye West waki-sign mikataba liveee kabisa… …., Wakati wa tukio hilo walikuwepo Jay Z, Kid cudi, Pusha T na mastaa wengine kibao kama mashahidi wa makubaliano yako… Baada ya hapo zikapigwa ngoma za Dibanj kwa sana tu huku watu waki-pop bottle…
No comments:
Post a Comment